• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
NZEGA TOWN COUNCIL
NZEGA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Origin
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa Eneo Husika
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Madiwani
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji, Ardhi na Maliasili
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Takwimu, Usimamizi na Ufuatiliji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma Mbalimbali
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha wa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kukutana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Miongozo
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Uchaguzi wa Viongozi wa Serikali za Mitaa Wafanyika kwa Amani Nzega Mji.

Tarehe Iliyowekwa: November 29th, 2024

Na James Kamala, Afisa Habari 

Mchakato wa kujiandikisha, kampeni, kuwasilisha sera za wagombea, na kupiga kura umehitimishwa kwa mafanikio na amani katika Halmashauri ya Mji wa Nzega. Viongozi wa maeneo mbalimbali wameonyesha umahiri wao, huku uchaguzi huo ukiwa nguzo mshikamano na ushiriki wa wananchi kwenye kutekeleza haki yao ya msingi.

Msimamizi wa Uchaguzi, ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji wa Nzega, Bw. Shomary Salim Mndolwa, aliwasihi wasimamizi wa vituo vya kupigia kura kuhakikisha haki inatendeka na kushirikiana kikamilifu na wananchi.

"Hakikisheni mnatoa haki sawa kwa wapiga kura wote ili waweze kushiriki kikamilifu. Kuweni waaminifu na simamieni zoezi hili kwa kumtanguliza Mungu ili mpate nguvu na utulivu na umahiri katika kazi yenu," alisema Bw. Mndolwa.

Mafunzo waliyopatiwa wasimamizi yalisaidia kufanikisha zoezi hilo kwa weledi, kwani hadi zoezi linakamilika hakukuwa na ripoti zozote za ukiukwaji wa maadili. Mchakato mzima uliendeshwa kwa amani, na matokeo yalifanikisha lengo la maendeleo endelevu ya Halmashauri ya Mji wa Nzega na Taifa kwa ujumla.

Waziri wa Kilimo na Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini, Mhe. Hussein Bashe, aliungana na wakazi wa Mtaa wa Humbi, Kata ya Nzega Mjini Magharibi, kushiriki katika zoezi hilo. Baada ya kupiga kura, Mhe. Bashe aliwashukuru wananchi kwa kujitokeza kwa wingi na kushiriki kikamilifu katika kutimiza haki yao ya kikatiba.

"Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa ufanisi wa zoezi hili. Hakuna jambo kubwa lililoathiri demokrasia yetu. Nawapongeza wananchi na wagombea wote, hasa wale wa Chama Cha Mapinduzi, kwa kuendesha kampeni za heshima na amani," alisema Mhe. Bashe.

Vijana wa kike na wa kiume walijitokeza kwa wingi na kueleza kuridhika kwao na maandalizi mazuri ya uchaguzi, ambao ulifanyika haraka na kwa ufanisi, bila kuathiri ratiba zao za kila siku.

Uchaguzi huo pia ulisimamiwa na mawakala wa vyama vya siasa walioteuliwa rasmi kuwakilisha vyama vyao kwenye vituo vya kupigia kura. Ushirikiano huu ulidhihirisha umuhimu wa maadili na uwazi katika kuimarisha demokrasia.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA October 01, 2019
  • KOROSHO- ZAO LA KIMKAKATI July 23, 2020
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA MJI NZEGA December 16, 2022
  • Onesha Yote

Habari Mpya

  • WALIMU 184 AJIRA MPYA WAPATA MAFUNZO ELEKEZI

    July 09, 2025
  • KITUO CHA AFYA KITENGWE KIMEKUWA MKOMBOZI KWA WAKAZI WA KATA YA MWANZOLI NA MAENEO YA JIRANI

    July 03, 2025
  • WATUMISHI WA MJI WA NZEGA WAPATA MAFUNZO YA E-UTENDAJI

    June 27, 2025
  • MJI WA NZEGA WAPATA HATI SAFI

    June 19, 2025
  • Onesha Yote

Video

JARIDA KITUO CHA AFYA ZOGOLO & BULUNDE SEKONDARI
Video Nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Matukio
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa zinazofanana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tabora RS
  • TAMISEMI
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Sehemu

Wasiliana Nasi

    NZEGA TOWN COUNCIL (HALMASHAURI YA MJI NZEGA)

    Sanduku la Barua: S.L.P 256 NZEGA-TABORA

    Simu ya Mezani: +255677003373

    Simu ya Mkononi: +255677003373

    Barua Pepe: td@nzegatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki zote zimehifadhiwa na nzegatc 2017